KARIBU KATIKA

CANOKSAN AND HILAL SHUKRI HOMEPAGE

     Hii ni website ya Kiswahili na English na imebuniwa kwa ajili ya wanafunzi wa Kiingreza wanaotumia Kiswahili, Website hii imedhaminiwa na "Muhraja's  après ski and Nocturnal English Program" iliyopo mtaa wa Yombo Temeke Chang'ombe inayofundisha tuishen ya kiingereza kila  na usiku kuanzia saa moja hadi saa tatu jioni.

               Madhumuni makubwa ya home page hii ni kukuza uwezo wa kupata msamiati na mambo mengine muhimu kwa mwanafunzi anayeanza kujifunza Kiingereza,  Kwa wanafunzi ambao wanajua Kiswahili lakini hawajui Kiingereza natumaini sasa watapata wepesi kiasi fulani kujisomea na kujifunza Lugha hii ya Kiingereza kwa kutumia homepage hii.  Malengo maalum yaliyomo ni katika kumsaidia mwanafunzi anayetumia Lugha ya Kiswahili katika kujifunza lugha ya Kiingereza na pia anaye tumia lugha ya Kiingereza katika kujifunza Kiswahili, Amma hii "website" itamsaidia pia  mwanafunzi  aweze kuelewa masomo yake vizuri shuleni kwa kuwa Kiingereza ndicho kinapotumika hasa Tanzania na Afrika ya mashariki. Katika homepage hii yapo majina ya vitu ambayo nimeona ni bora kuyawekea picha katika kuyaeleza kutokana na kushindwa kuyaweka bayana katika lugha ya Kiswahili, kwa kuwa dhumuni langu ni kueleweka basi si vibaya nikitumia picha (taswira hizo) pale nitakapoona kuna umuhimu wa kufanya hivyo.Naomba sana watembeleaji wa "website" hii watumie nafasi hii katika kuisoma na kuielewa na kutoa mawazo yao katika kuiendeleza ili iweze kutoa huduma ya hali ya juu kuliko ilivyo sasa.

  Kuhusu mimi ni kuwa, nimekuwa nikisomesha English kama mwalimu wa madrasa za kiislamu, nilikuwa nikifundisha madrasa moja iitwayo "IQRA ISLAMIC CENTRE" ambayo iko mtaa wa Rusende Chang'ombe Temeke, nilikuwa nikifundisha hapo tangu mwaka 1997 hadi 1988 ambapo tukaanzisha pamoja na wenzangu madrasa iliyojulikana kwa jina la "ISTIQAAMA ISLAMIC EDUCATION CENTRE" iliyo kuwepo katika mtaa wa Uzuri  jirani kidogo na madrasa ya kwanza, (Yaani "Iqra Islamic centre")  nilifundisha hapo kuanzia mwaka huo hadi mwaka  2000 ambapo nilipoanza masomo ya matengenezo ya Computer ninayo endelea nayo hadi sasa. Ingawa nimekuwa nikisoma masomo haya, bado nimekuwa nikiendesha masomo ya "tuition" jioni baada ya masomo yangu. Tuishen hii naifanyia nyumbani na inajulikana kama "muhraja's Après ski and Nocturnal English program kwa kuwa yenyewe ni ya jioni sana na usiku.

 Katika kufundisha muda wote huo wa kufundisha niliweza kujua matatizo mengi wanayo yapata wanafunzi katika kusoma somo la Kiingereza, ninataraji kurahisisha njia ya kusoma kwao katika "site" hii.

        Kutokana na matatizo yanayo wakabili  wanafunzi katika kujifunza  Lugha ya Kiingereza ambayo nimeyakuta wakati wa kuwasomesha, nitajaribu kuyaweka wazi tu baadhi ya kwa muhtasar, lakini kwanza kabisa nieleweke kuwa hii "site" sio ya wanafunzi wa shule peke yao, kwa hiyo nitaanza kuandika mambo muhimu hata kwa yule ambaye ndio anaanza kujifunza mwenyewe aweze kufaidika.

         Tunaanza moja kwa moja na somo letu bila kupoteza wakati. Kwa kawaida tunajua kuwa kila lugha ina  fasaha yake, na lafidh yake. Lakini yote hayo yatakuja baadaye tukijaaliwa, katika mambo tunayo takiwa tuyajue kwa sasa  ni vema tukijua salaam. Katika lugha tunayoisoma, vipi tusalimie asubuhi, jioni na usiku.

  Kwa Kiswahili: tunapofikiwa na asubuhi tuna wajulia watu hali   kwa kusema "Umeamkaje" au "Habari za asubuhi" kwa mchana tunasema "Umeshindaje?' au "Habari za mchana " ambapo kwa Kiingereza tunapo wajulia watu hali tunasema kwa wakati wowote "How are you?"  inatamkwa kwa kiswahili kama (Haw -a  yuu?)

   Lakini katika Kiswahili kuna utaratibu kutokana na mazingira na utamaduni, Vile vile katika Kiingereza kuna utamaduni wa Waingereza katika masuaIa mengine ya kilugha na utaratibu wa kusalimiana. Nitaangalia yale yanayo weza kuingiliana na kuyaandika humu. Kwa kawaida ukisalimiana na mtu kwa Lugha ya Kiswahili ikiwa ni mkubwa utamwamkia kwa kusema "shikamoo",  naye ataitika "Marhaba" na kisha utamuuliza au atakuuliza "Umeshindaje" au "Umeamkaje" la kwa mtu mzima kama wewe ni mdogo kwake huwezi kumuambia mtu mzima "umeshindaje" moja kwa moja bila kummwamkia "Shikamoo" au"umeamkaje" bila kuanza kumsalimia kwa kusema "Shikamoo!" Hii ni kutokana na maadili ya jamii inayotumia lugha hii.

     Amma kwa Kiingereza tunaweza kusalimiana kwa kusema "Good morning" (Gud moning") ikiwa ni asubuhi au "Good afternoon" (Gud afta nuun)  ikiwa ni mchana  na "Good evening" (Guud ivining)  ikiwa ni jioni na baada ya kutoa salamu moja wapo katika hizi inayoendana na wakati ulio nao kisha utamjulia hali uliyempa salamu kwa kumuuliza "How are you?" (haw a yuu)

   N.B:  Maandishi kwenye mabano yanaonyesha namna gani msomaji wa Kiswahili atakavyo soma na kutamka maneno yaliyo andikwa pembeni ya mabano hayo.

   Amma kwa wale wanaojua Kiswahili kizuri, ambacho kwa sasa watu wengi wamekuwa hawatumii salamu hizi ambazo ningesema ndio hasa hutafsiri maneno "Good morning" "Good afternoon" na "Good evening"

"Good morning" hutafsirika kwa  Kiswahili sahihi ni "Sabalkheri" (Neno la Kiswahili lililokopeshwa  kutoka kwenye lugha ya  Kiarabu likiwa na maana ya "asubuhi yenye kheri". asili ya neno hili ni "Swabaahul khayr" na hivi ndivyo maana ya "Good morning"( Gud moning') ilivyo  (literal translation)

kwani msingi wa neno hili ni katika kumtakia mtu asubuhi njema.

   Amma kwa mchana tunasema "Masalkheri" hiki ni Kiswahili rasmi, ingawa watu wengine huweza kuona ajabu lakini ndivyo hasa ilivyo, Kiswahili kwa kufundishia Kiingereza yabidi wakati mwingine tutafute Kiswahili kile cha asili ambapo kwa sasa hivi ni aghalabu kukisikia,  na hiki ndio Kiswahili rasmi kinachoweza kuendana kwa kiasi kikubwa na maneno hayo ya Kiingereza. Kwani haya maneno yanaashiria kumtakia mtu siku yenye kheri, ambayo kwa Kiingereza ni "Good afternoon"  (Hutamkwa kwa Kiswahili kama "Gud afta nuun")

   Amma kwa jioni tunasema "good evening"  (Gud ivining) hadi pale tunapofikiwa na muda wa kwenda kulala tutasema "good night"  (Gud nait)

  Kwa ufupi tu, hivi ndivyo itakuwa katika mazungumzo ya watu wawili, mmoja anaitwa Hilali na mwingine anaitwa Canoksan

HILALI: Good morning sir,     (gud moning sa)     

CANOKSAN: Good morning, how are you?  (gud moning' , haw -a- yu?)

HILALI: I am fine, thank you.     (ai em fain)

 N.B: Neno "Sir" hapo juu maana yake kwa Kiswahili ni "bwana" na hii huitwa mtu wa kiume unayemuheshimu

Amma kwa upande wa wanawake ni "maadam" yaani "bibi" (hii ni bibi ya heshima na sio ile ya uzee)

      Katika  namna nyingine ya salamu ni kusema "Hello!" na anayesalimiwa atajibu kwa kusema kama alivyo sema mwenzake "Hello!" na kisha wataendelea kuulizana hali na mambo mengine yatafuatia. Hii salamu vile vile inaweza kusikika sana katika mito ya simu na ni maarufu, lakini wakati mwingine huja kwa hali ya kukatishwa, yaani waweza ukakuta mtu akikusalimia kwa kukwambia "Hi!"

  Tukirejea Katika mazungumzo hapo juu ya Hilali na rafiki yake  (Canoksan) Kuna sentensi "I am fine" maana yake, mimi ni mzima thank you, yaani nashukuru/au ahsante

Katika salamu kama tulivyoona hapo juu kuna "Good morning Sir",

Good morning maadam (kwa mwanamke mheshimiwa), vile vile twaweza kutumia majina hapo chini kuyaongezea mbele yake baada ya kusema "Good morning.........",   "Good afternoon..........." au "Good evening........"

 

Neno                                        matamshi yake                                      maana yake

Father    (inatamkwa kwa Kiswahili   kama fadha)                                       baba

Mother   (inatamkwa kwa Kiswahili  kama madha)                                       mama

Sister    (inatamkwa kwa kiswahili  kama  "Sista")                                       dada.

Uncle     (inatamkwa kwa kiswahili  kama  "anko")                                       mjomba au baba mdogo.

Aunt      (inatamkwa kwa Kiswahili  kama "ant")                                          shangazi au mama mdogo.

Son       (inatamkwa kwa Kiswahili kama "san")                                           bin (mtoto wa kiume)

Daughter      ;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;      kama "douta")                                           binti (mtoto wa kike)

Grandson       ;;;;;;;;; ;;;;;;;;;;;;;;kama "grensan")                                       mjukuu (wa kiume.)

Granddaughter  ;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;kama "gren douta")                                     mjukuu (wa kike).

Grandfather ;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;  kama "grendfadha")                                     babu.

Grandmother;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;  kama "grenmadha")                                      bibi.

Nephew   ;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;   kama   "nefiu")                                             binamu.(mtoto wa kiume wa "uncle")

Niece      ;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;; kama "niis')                                                  binamu (mtoto wa kike wa "uncle" )

Grand nephew ;;;;;;;;;;;;;;;;;;; kama "gren nefiu")                                        mtoto wa kike wa binamu.

Grand niece ;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;;; kama "grend niis")                                         mtoto wa kiume wa binamu.

N.B: Tazama neno "Uncle" hapo juu ili uweze kupata maana ya "nephew" na "niece". Kumbuka kuwa hii ni tofauti na ile ya Kiswahili ambayo wengi tumezoea kuwa mjomba ni kaka yake mama. kwa Kiingereza Uncle ina maana mbili, aweza kuwa ni kaka yake mama au ndugu yake baba. yaani kwa ufupi ina maana ndugu wa kiume wa mmoja wa wazazi wako ndiye huitwa "Uncle" amma kwa upande wa "aunt" ni ndugu wa kike wa mmoja wa wazazi wako.

 

Amma kwa upande wa salaam tumeshaona zilivyo kwa ufupi, sasa tunakwenda katika kuagana.

Kwa kuagana tunasema kwa Kiingereza "Good bye" na Yule anaye agwa atasema "Bye"

  Kiingereza ni miongoni mwa lugha zinazotumiwa na watu wengi duniani. nacho kiingereza kimekuwa na namna mbili kuu, Kiingereza kinachotumika sana Amerika (Marekani/ American English) na Kiingereza kinachotumika sana Uingereza (British English). Usiwe na wasiwasi hata kidogo kwa kuwa tofauti iliyopo haiwezi kukufanya wewe ubabaike katika kujifunza lugha hiyo, kwani tofauti hii siyo ya kufanya wazungumzaji wasielewane, la sivyo, ila tu ni matamshi (Lafidhi)

Namna ya kutamka maneno ya Kiingereza na namna ya Kusoma:(how to read English words)

     Hii ni mada miongoni mwa zile nilizodhamiria kuziandika humu katika "website" hii. Nitatumia jitihada yangu nitakayo jaaliwa katika kufikisha mada hii. Katika Lugha ya Kiingereza tunajua kuwa ina lafidh yake, lugha ya Kiarabu, Kijerman, Kisomali, Kidachi, Kiswahili n.k vina lafidh zake kila moja tofauti na nyingine. Kama mtu akiongea Kiswahili kwa lafidh ya Kiingereza atajulikana tu, kadhaalika kwa Lugha ya Kiingereza. Kwanza kabisa kitu cha msingi nitajaribu tu kuonesha namna ya kusoma.

Tunaanza na alfabet za Kiingereza;

Aa                     Bb                    Cc              Dd                   Ee                         Ff                    Gg             Hh

Ii                       Jj                     Kk               Ll                   Mm                        Nn                    Oo            Pp

Qq                     Rr                    Ss              Tt                   Uu                         Vv                    Ww          Xx

Yy                     Zz

Namna ya kuzitamka kwa kutumia lafdhi ya maadishi ya Kiswahili:

A (Ei)           B (bii)            C (Sii)            D (Dii)            E (ii)     F (Ef)           G (Jii)           H (ech)     I (ai)

J (Jei)          L (El)             M (Em)            N (En)          O (o)     P (pii)          Q (kyu)         R (ar)       S (Es)

T (Ti)         U (yu)             V (vi)               W (dabli yu)             X (Eks)         Y (Way)       Z (zed)

   Ni muhimu sana kujua na kuhifadhi alfabeti hizi kwa kuwa kwa kiasi fulani zaweza kukusaidia katika kusoma Lugha hii. Hapa nitatoa mifano michache tu ya namna ziwezavyo kukusaidia Alfabet hizi;

 Mara nyingi tunaweza kuiona herufi "a" ikitumika kabla ya majina ya vitu vinavyohesabika tena ikiwa kitu chenyewe kiko katika hali ya umoja,

Mfano;     A boy    ( E boy),            A stick    ( E stik)

               A toy     ( E toy)              A school ( E skul)

 Katika mifano mingine ya namna ya kuisoma herufi hiyo ikiwa imefuatana na konsonanti (yaani herufi zote zilizo baki baada ya kuziondoa irabu (a, e, i, o, u):ya kuonyesha kuwa itabaki kuwa  katika matamshi ya "e" ni kama ifuatavyo hapo chini; Angalia herufi zilizoandikwa kwa maandishi ya italic na kukolezwa yote yanatamkwa kwa kuwekwa "e" kama ulivyoona hapo chini,  na zile zenye kuishia kwa kuandikwa "e" mwishoni haitasomwa ile "e"

A cap, a can, A mat,  cat,  rat,  bat, at, hat, lad, lab, hate, Cake, Date, fate, gate, late, mate, nape, name, page, pane, rate, race, rage, rake, raze, sake, sale, same, sane, save, take, tale, tape, base, bake, bale, lame, bane, paste, lame, compensate, validate, calculate, mandate, defecate, indicate, decade, evaluate, dedicate, manipulate, evaporate, complicate, chase, rain.

N.B; Katika maneno hapo juu yenye herufi "a" na kufuatiwa na konsonant kisha herufi "e" mwishoni kama ulivyoona hapo juu, maneno hayo yote yatatamkwa ile "a" kama "ei" kwa maana hiyo basi, neno "indicate" litatamkwa kama "indikeit", na hii ni kwa sababu herufi "a" katika maneno kama hayo, hutamkwa kama ilivyo tamkwa katika kusoma  "alfabet"

    Jaribu kuyasoma maneno hayo kwa sauti, yote yana matamshi yenye sheria moja hapo juu,na hutamkwa kwa sauti ya kutoka kwenye kushuka, kupanda na kushuka tena, hii ni kama inavyotamkwa neno la Kiswahili "Kweli"

   Tukizidi kuendelea kuona namna gani ya kutamka maneno ya Kiingereza, tujue pia yapo maneno yanayo andikwa yakiwa na herufi "a" mwishoni na ikifuatiwa na herufi mbili, yaani  "re" yakawa yanaishia na herufi hizo tatu (yaani ...are") basi herufi hizo zote pamoja zitatamkwa kama "ea"

 Kwa maana hiyo basi, mahali pa herufi hizo tatu za mwishoni zitatamkwa kama "ea" kwa matamshi ya Kiswahili, Angalia mifano hapo chini;

 bare, rare, fare, care, share, dare, hare, mare, pare, ware, declare, tare, Clare, (mfano wa neno la kwanza ambapo ndivyo yatakavyosomwa mengine ni  "Bea" )  

Pia yapo baadhi ya maneno mengine ya Kiingereza huchukua sura ya "a" kama ilivyo, yaani hutamkwa hivyohivyo kama "a" Angalia mifano hapo chini;

 Data, fat, mama, daddy,  bad, Sad, manner, ladle, glass, Class, habit, lack, last, man, human, mad, pass, past, path, patron, papa, sample, salary, vacant

Baadhi ya  maneno ya Kiingereza ambayo Kiswahili yawezayo kutamkwa kama "a"na baadhi ya yale yaliyobeba herufi zenye sauti ya a

maneno yaliyo kusanya herufi zinazo simama mara nyingi kama "a" mfano;  'er', "ur", "ar", "or" baadhi ya konsonant zikifuatiwa na ry  hugeuza 'y' kusomwa kama "ai"

  Mifano katika herufi "er" ni; Teacher, butcher, driver, player na kadhalika

   Mifano katika herufi "ur" ni; burn, turn, fur, burry, curry, hurry, turmoil  na kadhaalika

  Mifano katika herufi "ar" ni;  Bark, car, dark, smart, art, start, award, arrive, arm, around na kadhaalika.

  Mifano katika herufi hizo ni; Doctor, error, indicator, inductor, terror, conductor, coordinator, na kadhaalika.

Hapa tumechagua yale maneno ambayo mara nyingi huwa yanatamkwa kama "a". kwa hiyo yapo machache sana ambayo yana sifa hizi na yakatamkwa tofauti, lakini hilo usiogope kwa kuwa sio mengi, mfano wa mojawapo katika hayo ni force (hutamkwa kama "fos")

Mfano wa konsonant zikifuatiwa na "ry": ni Try, fry, cry, dry, krypton,

N.B; katika herufi "y" iliyokolezwa hapo kwenye mfano wa mwisho itasomwa kama "ai" na hivyo yatatamkwa maneno yote hapo juu katika sehemu ya "Y"kuwa "ai"   (mfano katika neno la mwanzo miongoni mwa  mifano hiyo, neno "try" litasomwa kama Trai.

Pia zipo mifano kama hii katika maneno kama "deny", Verify, Specify, vilify, simplify, justify, magnify  n.k.

Katika maneno haya, ambayo mara yaliyo mengi sana  husomwa kwa kutiwa sauti "ai" sehemu ya "Y" ni yale yanayoishia na "y" iliyo mbele ya  na "f"

Tazama mifano hapo chini na usome kwa sauti.

Classify, Simplify, amplify, rectify, fortify, horrify, clarify, testify, signify, notify, identify, electrify, satisfy, sissify.

Ni maneno mengi ya Kiingereza unaweza kukutana nayo yenye kusomwa sehemu iliyo kutana herufi mbili (yaani "al") kama kutamkwa kama "o" inavyotamkwa kwa Kiswahili, baadhi ya maneno kama hayo ni;

 All, small, principal, pen pal, sandal, trial, special, typcal, electrical, commercial, legal, national,original.

baadhi ya Maneno ambayo yatasomwa kama  "e"( Some of words that will sound as "e"  in Swahili)

Maneno hayo yanakusanya herufi ambazo sitasomeka kama "e"; Kwa mfano, "ir", "e", "a', "ai"

Mfano wa maneno hayo yaliyokusanya herufi 'ir" ni kama; Firm, confirm, dirt, skirt, thirty, thirsty, chair, first, third  affirm, girl, infirmary, n.k

Mfano wa maneno hayo yaliyokusanya herufi "e" ni kama; elbow, escort, escape, entire, essay, message, end, especially  n.k.

Mfano wa maneno hayo yaliyokusanya herufi "a" ni kama; blame, care, take, safe, came, cane, crane, crake, sane drake, flame, lame, name, same, fame, bane,  n.k

Mfano wa maneno hayo yaliyokusanya herufi "ai" ni; mail, train, rain, abstain, bargain, again, grain, chain, drain, obtain, cocaine, n.k (N.B: katika herufi hizi "ai" hutamkwa kwa mfumo wa Kiswahili wa "ei" kwa maana hiyo itasomwa neno la kwanza kama "blei m")

Mchanganyiko wa herufi na namna zitakavyotamkwa katika Lugha ya Kiingereza;

Soma kwa sauti maneno yafutayo; (kumbuka kuwa maneno haya ni yale yenye mfumo wa a kutamkwa kama 'e' ya Kiswahili)

Play, tray, pray, May, hay, Okay, hurray, ray, say, day, lay, nay, pay, way, always, away, essay stay, bray, astray, ashtray, always. betray, decay, Monday, Tuesday, Wednesday, Thursday, Friday, Saturday, Sunday, bay.

Zipo  herufi nyingine za Kiingereza ambazo zinazoweza kututatanisha ikiwa zitakutanishwa na baadhi ya herufi, mfano wa herufi hizi ni: "ng", nc, th, al, ..ture, ..sion, ..tion, ..uce, konsonant iliyofuatiwa na herufi "le", Ph

  Katika herufi tulizoziona hapo juu ni kama ifuatavyo;

'NG'  Herufi hizi mara nyingine katika Kiigereza hutamkwa kwa matamshi ya Kiswahili kama vile itamkwavyo katika "Unga" n.k,  lakini mara nyingine hutamkwa kama  "nj" na wakati mwingine kama "ng'" tunavyo tamka, mfano katika maneno hapo chini

   "Danger, stranger, ganger, range, arrange, tangerine, fringe, syringe, angel, na kadhaalika.

Katika mifano ifuatayo hapo chini, herufi hii husomwa kama 'ng' tofauti na hiyo hapo juu ambayo ilisomwa kama 'nj'

Monger, mango, Single, singular, angle, bingo, hanger, hungry,

Mifano mliyoiona hapo juu ni ile ambayo "ng" katika lugha ya Kiingereza hutamkwa kama itamkwavyo "ng" inavyotamkwa katika Kiswahili. Sasa yabidi uwe makini sana, kwani sasa tunaelekea ambapo herufi hizohizo hutamkwa kama ng' inavyotamkwa katika neno "ng'ombe" na hapa yapo maneno mengi sana ya Kiingereza hutamkwa kwa namna hii, ndipo penye maneno mengi kuliko hata hizo mbili tulizo taja hapo juu.

 Hutumika katika maneno yanayo ashiria vitendo  yanayoishia na ..ing" mfano; Going, reading, n.k tutaona zaidi katika Somo la "verbs" (yaani matendo).

Maneno yaliyo mengi sana kwenye Kiingereza yenye herufi  "ng" yanatamkwa kwa sheria hii tuliyoitaja ya matamshi, baadhi ya hayo ni kama tunavyo yaorodhesha hapo chini;

Sing, ring, Song, Bring, Sting, strong, Cling, Spring, Ping, dung, swing na kadhalika.

Yafuatayo ni maneno ambayo herufi  "ng" itasomwa kama  "nj"

Sponge, 

 Tunazo herufi ambazo twaweza kukutana nazo katika kozi yetu hii ya Kiingereza kama  "nc". Herufi hizi nazo husomwa kwa namna tofauti kama zitakavyo onyeshwa hapo chini na kutolewa mifano.

  Kwanza kabisa,herufi hizo hapo juu ("nc") hutamkwa kama "Nk" kwa Kiswahili na pia wakati mwingine hutamkwa kama "ns" na mahali pengine hutamkika kama  "nshjy"

 Amma kwa upande wa mfano tuliotoa hapo juu wa kwanza ambao tumesema kuwa zitatamkwa kama 'nk'

Ni kama ifuatavyo,

Uncle,

 Kwa upande wa mifano katika matamshi ya pili ni kama "permanence, transparence, Commence, appliance, bounce, 

Katika Lugha ya Kiingereza neno lenye herufi "th" lina namna mbili katika kutamkwa, namna ya kwanza ni katika kule kutamkwa kama inavyo tamkwa katika lugha ya Kiswahili mfano katika neno kama "thamani", na namna ya pili hutamkwa kama inavyo tamkwa "dh" kama inavyotamkwa katika neno "dhahabu"

   Hebu tuone mifano ya maneno ya kutamkwa kwa "dh" na halafu baadaye tuone ya kutamkwa kwa "th"

Ifuatayo ni mifano ya maneno ambayo  herufi "th"ya hutamkwa kama "dh"

This   hutamkwa kama  ("dhis") na ina maana hii/hili/hiki/huyu n.k

Those hutamkwa kama ("dhoz) na ni wingi wa "This"

The hutamkwa kama (dhe) ikiwa ina maana mtu huyo/kitu hicho (Yaani kitu au mtu ambaye/ambacho ameshatajwa/kimeshatajwa na sasa anawakilishwa/kinawakilishwa tu na neno hilo tu.)

That  yaani ile/yule/

Those ni wingi wa  "that" (yaani wale/...)

Ifuatayo ni mifano ya maneno ambayo herufi "th" hutamkwa kama "th"

 thermometer  (hili ni jina la kipimo cha kupima joto)

Theology, thermostat, thigh, thing, thought, think, python, marathon, na kadhaalika.

 Miongoni mwa maneno ambayo yanavyo andikwa hutamkwa tofauti ni pale tunapokutana na neno lililobeba herufi nne zilizo fuatana pamoja mabazo herufi hizo ni "ture".  Herufi kama hizi zinasomwa kwa matamshi ya Kiswahili kama "cha" Angalia mifano ya maneno hayo hapo chini, Isome, kumbuka kuwa kila penye neno "ture" lisome kama "cha"

Picture, culture, mature, nature, expenditure, agriculture, future, puncture, feature,

Matamshi mengine ni kama yale tunayoya soma kwenye herufi kama  "sion" na "tion"  ambayo yana namna mbili za kusomwa, namna ya kwanza yatasomwa kama  "shen" na maneno  mengine yatatamkwa kama itamkwavyo "je" katika lugha ya kifaransa" Kwa kiswahili inakuwa ni vigumu kuelezea kwa kuwa hakuna neno la Kiswahili laweza kufananishiwa,ila najaribu tu kulieleza katika kulitamka kama  "nshjyen" , basi nitatoa mifano ya namna ya kulitamka kama "shen" na kisha kwa mifano ya namna hiyo ya pili.

  Natuanze kwanza na mifano hiyo ya namna ya matamshi ya kwanza ambayo tumesema yatakuwa yanatamkika kama "shen" na kisha tuone mifano ya yale yatakayotamkika kwa Kiswahili kama "shjyen" (Kumbuka kuwa unatakiwa uyatamke bila irabu (vowels) kama yalivyo isipokuwa irabu moja tu ya mwisho iliyofuatana na herufu n")

 Nation, ration, congratulation, graduation, inauguration, decision, passion, session, decision, narration, condition, recognition, ignition, abortion, extraction, supplementation,  institution, correction, resurrections, Satisfaction, alimentation, monopolization, liberation, celebration, cerebration, documentation, application, reduction, addition, subtraction, Suggestion, animation, session, affection, defection, generation, passion, partition, fumigation, ablution.

  Matamshi yote hapo juu ya "sion" na "tion" yatasomeka kama "shen" kwa matamshi ya Kiswahili. Sasa tuone mifano michache ya yale yatakayo tamkwa kwa matamshi ya Kiswahili ya "nshjyen"

Katika matamshi ya "nshjyen" ambayo kwa Kiswahili tulisema hayapo ila hapa tu ni jitihada ya kuyaweka ili mtu atamke kwa kusoma mojamoja kama lilivyo bila irabu, Maneno yanayo tamkwa kwa mtindo huu ni kama yafuatayo ambayo yenyewe yanakusanya mara nyingi herufi kama "nc" na "tia",

 Vision, visual, usual. na kadhaalika.

Kwa ujumla na kwa ufupi wa mada tunayoisoma, maneno yanayo somwa kama 'shen' ambayo ndiyo yanaitia hiyo "sh" kwenye "shen" ni haya hapa chini;

Herufi hizi  zilizoandikwa kwa italic mahali pengi husomwa kama "sh"  katika matamshi ya Kiswahili, tazama mifano ya maneno hayo hapo chini.

Appreciate, differentiate, special, commercial, electrician, politician, tuition, nation, negotiate    na kadhaalika.

(Kumbuka kuwa inabidi ujitahidi kutafuta masomo rasmi ya namna ya kusoma matamshi, kwani hapa ni jitihada tu ya kukusaidia ingawa kwa kweli hakuna kanuni rasmi ya kutamka maneno ya Kiingereza, sio kuwa kila uliloliona humu ndio basi umemaliza.)

  Katika Kiingereza herufi "g" ina namna mbili za kusomwa, namna ya kwanza husomwa kama "j" na namna ya pili kama "g"

Mfano wa namna inayosomwa kama  "j"

Message, page, package, usage, passage, cartridge, porridge, hostage, wastage, lodge, budge, edge, pledge, breakage. knowledge, dodge, homage, sausage, courage,.

Yale yanayosomwa kama "G' ni

  Gear, glimpse, Glance, Gauze, congratulate, English, Anglophobe, garage, carriage, usage, drainage, engage, pig, jug, thug, big, mug, hug, rug, shaggy, egg, leg, bag, tag, beg, dig, fig, figure, wig, zigzag, log, frog, fo  na kadhaalika   na kadhaalika. (kwa ufupi tu ujue kila neno ambalo herufi "g" katika lugha ya Kiingereza

Pia yapo maneno yaliyo ishia na herufi tatu ambazo ni  "....ise", "..ice"  na  " ..ize".

Herufi hizi zitasomwa kama "aiz" na mahali pengine kama "ais" kwa matamshi ya Kiswahili. Tazama mfano wa maneno hayo na uyasome kwa sauti. (maneno yanayo ishia na  '..ice" ndiyo husomwa kwa kutamkwa kama "ais"

standardize, personalize, minimize, sacrifice, categorize, recognized, emphasize, specialize, monopolize, ice, dice, thrice, twice, rice, surprise, sunrise,  apologize,

Kwa kawaida katika Kiingereza kuna baadhi ya herufi ambazo labda msomaji wa Kiswahili aweza kupata shida kidogo katika kuzisoma, mfano wa herufi mojawapo ni "ph" Hii husimama mahali pa matamshi ya herufi  "f"

maneno hayo ni kama vile Physics, pharmacy, phenomena, phone, phantom, peripheral, emphasize, amphibian, phenomenology, elephant, phony, phonate, Anglophobe, phenol.     


  Namna ya kuandika Kiingereza na Kutamka: Jina lolote la kiingereza lililo na umoja na wingi, huongezewa

   - 's mwishoni kwa ajili ya kuthibitisha wingi wake, mfano:  car  (kaa)  wingi wake ni  cars  (kaaz) (yaani magari)

Goat  (got) maana yake mbuzi (mmoja) wakiwa wengi utaongezea  s" na itasomeka kama  (goats) (gots)

 Kwa majina  yaishiayo na 'y' yakiwa yemefuatiwa na konsonanti nyuma yake mfano "bakery"  "salary" "strawberry"

"enemy" "baby"  "bunny" "puppy" yote haya huondolewa  heruti ya mwisho ("Y) na kuwekwa sehemu iliyoondolewa herufi tatu, nazo ni "-ies" kwa maana hiyo basi. maneno hayo hapo juu wingi wake utakuwa unaandikwa kama ifuatavyo:

 UMOJA                                                                                                                  WINGI

"Bakery" (Bekari/ sehemu ya kuoka mikate)                                                   Bakeries  (bekariz)

"Salary" (salare /mshahara)                                                                        Salaries   (salariz)

Strawberry (strobari/ tunda nyanya)                                                            Strawberries. (strobariz)

"Enemy" (enemi/ adui)                                                                                enemies  (enemiz)

"Baby" (beibi/ mtoto)                                                                                  babies   (beibiz)

"Bunny" (bani / mtoto wa sungura)                                                               bunnies (baniz)

"Puppy" (papi / mtoto wa mbwa)                                                                  puppies.(papiz)

"Pony"  (poni/ mnyama fulani aina ya punda)                                                  ponies.

 

WINGI KATIKA MAJINA YAISHIAYO NA "sh" "x" "ss" "z" "ch"

  Kwa kawaida majina ya vitu vinavyo hesabika  yanayoishia na herufi zilizo tajwa hapo juu, yakiwa katika hali ya wingi huongezewa herufi mbili bila kuondolewa herufi yoyote za mwhisho katika herufi zake. herufi zinazoongezwa ni  "es" na kutamkwa kwake ni kwa kutajwa wazi "e" "na 's" . kwa mfano : lioness  itakapoongezewa wingi na kuwa " lioness" ambayo hutamkwa kama "layoneses"

mfano wa majina ya vitu hivyo ni

  UMOJA     (matamshi yake)                                                                                WINGI

 Bush          (bush)                                                                                      bushes  (bushes)

 Brush        ( brash)                                                                                     brushes .(brashes)

 Box           (boks)                                                                                       boxes.  (bokses)

Princess         (prinses)                                                                               princesses. (prinseses)

Branch         (branch)                                                                                  branches   (branches).

 

NAMNA YA KUANDIKA NA KUTAMKA KWA JINA LINAOISHIA NA "O" LIKIWA KAIKA WINGI.

  Upo utaratibu wa kuandika wingi katika jina lililoishia na irabu "o". Hili hutamkwa kwa kuongezewa herufi mbili yaani "es" mwishoni bila kuondolewa kwa herufi yoyote wakati wa kuandika herufi hizi mbili. hapa nitatoa mifano michache tu.

UMOJA                                                                                                WINGI

Mango (mengo)                                                                                    mangoes

Mosquito (moskwito)                                                                              mosquitoes 

Tomato (tomato)                                                                                   tomatoes.

Potato  (poteito)                                                                                     potatoes

   Hapa yabidi tuwe waangalifu maan yake sio kila jina litakalokuwa limeishia na herufi hii litaongezewa  "es" likiwa katika wingi, hapa ni kwa yale majina yaliyo na asili kabisa ya Kiingreza na yamekubalika kupewa kanuni hii, kwani yapo maneno mengine yamekopwa katika lugha mbalimbali, mfano Kijapani tuna neno "kimono" na katika lugha nyingine tuna maneno kama "piano" .maneno kama haya hayatachukua kanuni hii bali yataongezewa tu "S" mw2ishoni kama yalivyo.

  Mfano:

UMOJA                                                                      WINGI

Kimono                                                                      kimonos

Piano                                                                          pianos

Bongo                                                                       bongos

N.B Ikumbukwe hapo juu kuwa maneno kama

"boy" "toy" "key" n.k yanaishia na "y" lakini hayatakuwa na sheria ya kuondolewa "Y" na kuingizwa "ies"

kwa kuwa yenyewe yamekosa hali moja miongoni mwa tulizozitaja, "y" iliyopo mwishoni haikufuatiwa na konsonanti bali imefuatiwa na irabu (a, e, i, o, u)

Kwa maana hiyo basi

Boy  wingi wake utakuwa ni     "boys"

Toy  wingi wake utakuwa ni     "toys"

Key  wingi wake utakuwa ni     "keys"

 

Maneno yenye wingi unaogeuza katikati ya neno: yapo majina ya Kiingereza ambayo yakiwa katika wingi hubadilisha katikati ya neno hilo kabisa: angalia mfano wa maneno hayo hapo chini:

Jina         linavyotamkwa                                Maana yake                       Wingi wake

Tooth       (tuuth)                                 Jino                            teeth

Goose       (guuz)                                bata maji                     geese.

Mouse      (maus)                                panya                         mice.

Louse       (lusi)                                   chawa                        lice.

 nategemea kuwa hadi hapa nitakuwa kwa kiasi fulani nimeeleweka na ninataraji kuendelea baadaye tukijaaliwa katika kuendeleza hapa tulipofikia juu ya wingi na umoja, lakini hadi hapa msomaji akitumia kanuni hizi natumaini zitaweza kumsaidia kwa kiasi kikubwa sana.

MAJINA YA VITU MBALIMBALI KATIKA LUGHA YA KIINGEREZA:

 Katika lugha ya Kiingereza tuanza kutaja matunda yale ambayo yanapatikana katika mazingira ya hapa Afrika:

JINA                                          MAANA                                           MATAMSHI

A mango                                     embe                                                 (mengo)

A guava                                       pera                                                  (juva)

A  papaya/ a pawpaw                 papai                                                 (papaya/popo)

A cashew apple                          bibo.                                                 (Keshiu epo)

A custard apple                         tope tope                                          (kastad epo)

An avocado or                                                                                     ("evokado" au " eligeta epo")

( alligator apple)                       parachichi

A melon                                      tikiti maji.                                          (melon)

An orange                                  chungwa.                                         (orenj )

A tangerine                                chenza.                                             (tenjirin)

A baobab fruit                            ubuyu.

A tamarind                                ukwaju.

A date                                         tende.

An apple                                     epo.

A  strawberry                  (tunda nyanya/ (jamii ya tunda damu) tazama picha hapo juu)

A  jackfruit                              fenesi.

A banana                                 ndizi.

A  jujube fruit                           tunda la mkunazi.

An  olive                                   Zeituni.

An apricot                                 mishmish.

A  pear                                      peaz

A grapefruit                               balungi/dalansi.

A damson                                  Zambarau.

A lime                                       ndimu.

A breadfruit                              shokishoki.

A  plum                                    bungo.

grapes                                     zabibu.

A nutmeg                                kungumanga.

A pomegranate                        komamanga.

Mulberry                                 forosadi

Cucumber                               tango.

 

     BAADHI  YA MAJINA YA  WANYAMA WA NYUMBANI  KWA KIINGEREZA.

(SOME OF DOMESTIC ANIMALS'  ENGLISH -SWAHILI  NAMES )

A  cow                                 ng'ombe.

A  goat                                 mbuzi.

A  dog                                   mbwa.

A  pig                                    nguruwe.

A  hen                                   kuku.

A  duck                                  bata.

A  donkey                               punda.

A  guinea fowl                        kanga.

A  dove                                  njiwa.

A  camel                                ngamia.

A  horse                                farasi.

A  sheep                                kondoo.

A  cat                                    paka.

A  rabbit                               Sungura

 

BAADHI YA MAJINA YA WANYAMA WA PORINI NA MAJINI

(SOME OF SEA AND  WILD ANIMALS' NAMES)

Beast                              mnyama yeyote aliye na miguu minne huitwa "beast" (Kwa ujumla)

Biped                              mnyama yeyoye mwenye miguu miwili tu huitwa "Biped"  

Amphibians                     mnyama awezaye kuishi majini na nchi kavu: mathalan Chura n.k

A  bear                           dubu.

An  ass                          mnyama jamii ya farasi mwenye masikio marefu na mwishoni mwa mkiawe analo fungu

                                    la manyoya mwishoni mwa mkia (turft) kama alivyo nalo ng'ombe.

An  elephant                     tembo.

An  ostrich                        mbuni.

A  lion                              simba.

A  zebra                           pundamilia.

A  rhino                            kifaru.

A  giraffe                          twiga.

A  crocodile                      mamba.

A  squirrel                        kicheche.

A mongoose                     sili.           

A  leopard                        Chui.

A  cheetah                       duma

A  monkey                       kima.

A  gorilla                         sokwe.

A  hippopotamus              kiboko.

A  hyena                         fisi.

A  chameleon                  kinyonga.

A  lizard                         mjusi.

A  buffalo                       nyati.

A  fish                          samaki.

A  frog                         chura.

A  snake                       nyoka.

A  rat                           panya (wa nyumbani).

A  flamingo                  kongoni.

A  crane                      korongo

A  crow                       kunguru.

A  parrot                     kasuku.

A  peacock                 tausi.

A  turkey                    bata mzinga.

An  eagle                   tai.

A  kiwi                       ndege John

An  octopus               pweza.

A  dove/ pigeon        njiwa

A kite ( a bird of prey)    mwewe

Antelope                  swala.

Baboon                    nyani mkubwa mwenye uso kama wa mbwa.

Badger                    mnyama mdogo aliye na rangi ya kijivu aishiye shimoni na anatoka usiku.

Swan                     aina fulani ya mabata maji.

A  crab                   kaa.

Pony                     mnyama fulani jamii ya punda.

Gazelle                 mnyama jamii ya swala mwenye pembe ndefu zilizo jikunja.

Foal                      farasi mdogo.

Shark                    papa.

Cuttle-fish   samaki wa maji ya bahari ambaye anaposhambulia hutema maji maji meusi,  ngisi

Wart-hog    ngiri.

A  hare                                sungura (mkubwa wa porini)

A  mule                                nyumbu

A  whale                              nyangumi.

An Owl                                bundi.

Python                                chatu.

wildebeest                          Kongoni, nyumbu.

Wild dog                            mbwa mwitu.

Lobster                              kamba. (samaki)

Cobra                            

 

  BAADHI YA MAJINA YA WADUDU KWA LUGHA YA KIINGEREZA.

(SOME OF INSECTS' NAMES)

A  housefly                    inzi.

An   ant                          siafu, sisimizi.

A    mosquito                 mbu.

A   louse                        chawa.

A   cockroach                mende

A   bee                          nyuki

A  spider                       buibui.

A  centipede                 tandu.

A  millipede                  jongoo.

A  hornet                     nyigu.

A grasshopper             panzi.     

A tsetse fly                 mbung’o.

A  butterfly                  kipepeo.

A  snail                       konokono

Cicada           

Beetle                       mdudu fulani anayesukuma mbolea ya ng'ombe baada ya kuitengeneza katika umbo la mpira.

Cock chaffer    

Gad fly                  aina ya wadudu wanaowang'ata ng'ombe na farasi.

Flea                      kiroboto.

 

BAADHI YA MAJINA YA VIUNGO VYA CHAKULA:

   (SOME OF SPICES' NAME)

A   garlic              kitunguu swaumu.

A  tomato             nyanya.

An onion              kitunguu.

Cinnamon            mdalasini.

An  averrhoa        mbirimbi.

An  okra               bamia.

(Lady finger )

A  brinjal                 bilinganya.

An  aubergine          nyanya mti.

A  coconut               nazi.

A  ginger                tangawizi.

Cooking oil              mafuta ya kupikia.

A  pepper                pilipili.

Greens                   mboga za majani.

Clove                      karafuu.

carrot                     karoti.

Cardamom             iliki.

Caraway  

Capsicum

Cayenne

Curry powder              bizari.

Cabbage                     kabichi.

Salt                            chumvi.

 

MAJINA YA BAADHI YA VIFAA VYA JIKONI.

( SOME OF DOMESTIC (KITCHEN)  UTENSILS)

A  charcoal stove                Jiko la mkaa.

A  kerosene stove               Jiko  la mafuta ya taa.

A  sauce  pan                     sufuria.

A  plate                               sahani.

A  glass                               gilasi

A  mug                                kikombe kikubwa.

A  cup                                  kikombe cha chai.

A  spoon                              kijiko.

A  wooden spoon                  mwiko.

A  bowl                                 bakuli.

A  tub                                   beseni.

A  frying pan                          kikaango cha chapatti.

A  funnel                              kifaa cha kupitishia  majimaji ndani

                                           ya chupa bila kumwaga chenye mdomo

                                           mpana kwa juu na chini ni mrija ambao

                                           huzamishwa kwenye chupa au kitu kama hicho ; chirizo.

A  sieve                               Chujio (La chai au nazi)

A  bucket                             ndoo.

A  fork                                uma wa kulia chakula.

A  bottle                              chupa.

A  potato masher                 kifaa cha kupondea viazi vilivyo pikwa.

A  kettle                              birika.

A  jug                                 jagi.

A  ladle                              upawa.

A  spatula                          kijiko cha kuopolea maadazi au samaki

                                        kikaangoni (A fish slice kwa kiingreza cha British).

A  pair of tongs                  kibanio ( cha kuepulia sufuria motoni au kushikilia)

Cauldron                           Sufuria kubwa la kuchemshia vitu.

Casserole                         Sufuria la kupikia na kuhifadhia joto lenye mfuniko wake maalum.

Chaffing dish                    dishi lenye "heater" (kichemsho) chini yake linalotumika katika meza kwa kupika na

                                      kuhifadhi joto la chakula hicho.

Cullender,  colander         bakuli/dishi /chombo chenye vitobo vingi kwa ajili ya kupitisha maji kutoka kutoka kwenye

                                      mboga n.k  (Chungio)

 

                            MILO

 

Breakfast                         Istiftaah (yaani mlo wa kwanza kabisa tangu mtu aamke/kifungua kinywa.)

Brunch                             Mlo ambao sio wa "breakfast" wala "lunch"

Lunch                              Chakula cha mchana.

Dinner                            Chakula cha jioni.

Supper                            Chakula cha usiku.

 

BAADHI YA MAJINA YA VIFAA VINGINE VYA NYUMBANI

(SOME OF OTHER DOMESTIC TOOLS AND EQUIPMENTS)

 

A  ladder                  ngazi.

A  spade                   beleshi (chepeo)

A  hammer                nyundo.

A  hoe                      jembe.

A  rake                      reki.(kifaa kama chanuo kwa ajili ya kutoa taka taka)

An  iron                     pasi.

A  wheel barrow       toroli.

A  saw                    msumeno.

A  chisel                 patasi.

A  file                    msasa wa chuma.

A  scissor               mkasi.

A  tape measure     futi.

A  pliers                koleo.

An  axe                  shoka.

A  brush                brashi.

A  knife                 kisu,

A  plane                randa.

 Pliers                  koleo.

Claw hammer      nyundo yenye pembe mbili juu kwa ajili ya kung'olea misumari.

 

 BAADHI YA MAJINA YA VYAKULA

(SOME OF FOOD STUFF'S  NAMES)

Maize                   mahindi.

Wheat                  ngano.

Millet                   mtama.

Cassava               muhogo.

Banana                ndizi.

Pumpkin               boga.

Beans                  maharagwe.

Rice                    mchele.

Lentils                 njegere.

Potato                 kiazi.

Irish potato         mbatata (kiazi mbatata)

Sweet potato      Kiazi kitamu.

Coco yams         magimbi.

Yams                 viazi vikuu.

an egg               yai.

Flour                 unga.

Maize flour        unga wa mahindi.

Wheat flour       unga wa ngano

pigeon peas      mbaazi.

Barley              shayiri

Oats

Rye

 

VIBURUDISHO   (REFRESHMENTS:) 

Ground nuts               karanga.

A  sweet                    pipi, peremende.

A  biscuit                    biskuti.

A  bun                         andazi (tamu)

Cold drinks                 vinywaji baridi.

Soft drinks                 vinywaji tulivu.

Chewing  gum             kitu cha kutafuna chenye ladha ya sukari kama

                                   vile tunavyoona vile vinavyotengenezwa na viwanda

                                   kama BIG G, Bubblish n.k.

Yoghurt                 mtindi.              

grilled meat           nyama choma.

Buttermilk             maziwa ya  mtindi

Copra                   mbata.

Butter                   siagi.

Cheese                 jibini.

Cashew nut           korosho.

Cocoa                   kakao.

Coffee                  kahawa.

Tobacco               tumbaku.

Popcorn                bisi.

Juice                    maji ya matunda.

Tea (char)            chai.

  Hali ya dunia

 Wind                 upepo

Typhoon             kimbunga.

Earthquake         tetemeko la ardhi.  

Flood                 mafuriko.

Rain                  kunyesha (Mvua)

SEHEMU ZA  MWILI WA BINAADAMU (Some of parts of a human being's body)

Head           kichwa.

Hair            nywele.

Shoulder     bega.

Stomach      tumbo.

knee           goti.

Toe             kidole cha  mguuni

Finger         kidole cha mkono.

Ear             sikio.

Eye            jicho.

Mouth         mdomo.

Lip              sehemu ya chini au ya juu inayo funga mdomo.

Upper lip     sehemu ya juu ya mdomo inayoufunga mdomo.

Lower lip     sehemu ya chini ya mdomo inayoufunga mdomo.

Throat         Koo.

Nape           sehemu ya nyuma ya shingo (Juu ya mgongo)

Adam's apple  sehemu kwenye koo la mwanaume palipo tokeza juu na hushuka chini anapomeza kitu.

Nose                 pua.

Tooth                jino.

Tongue              ulimi.

Palate                paa la mdomo.

Eyes brows         nyusi.

Eyelashes           kope.

Beards               ndevu.

Moustache         mustachi.

Bald                   kipara.

Fore head          utosi.

Chin                  kidevu.

Palm                 kiganja cha mkono.

Ankle                 kifundo cha mguu.

Eye lid               mstari unaopita kati ya jicho na shavu.

Temple

Cheek                 shavu.

Nail                    kucha.

Back                   mgongo.

Buttock               makalio.(sehemu unayoikalia/uliyoikalia kama umekaa.)

Chest                 kifua.

Navel or

(belly button)       kitovu.     

Nipple                 sehemu kama kipele kwenye kifua chako juu ya sehemu iliyoinuka (kiziwa)

Thigh                 paja

Foot                   mguu.

Sole                   nyayo.

Hand                 mkono (sehemu ya kushikia kitu) kuanzia kwenye kiwiko hadi kwenye vidole.

Wrist                 kiwiko. (viungio vya "hand" na "arm"

Arm                  sehemu ya mkono kuanzia mabegani hadi kwenye hand.

Breast               matiti.

Waist                Kiuno.

Elbow               Sehemu mikono yapo inapo kunjika kutoka kwenye mabega yako ukishika kiuno,  kiwiko; (kipepsi),

Heel                 kisigino.

Skin                 ngozi.

Lung                pafu.

Jaws                taya.

 

MAJINA YA BAADHI YA MAVAZI. (NGUO)

 (SOME OF NAMES OF DIFFERENT ROBES  and other wears)

shirt              shati

short            kaptula

Trousers      Suruali

Tie               tai.

Jacket         jaketi

Coat           koti

Hat             kofia.

pullover      sweta.

T shirt         fulana

Skirt            sket

Blouse         blauz

Surplice       kanzu.

Vest            fulana isiyo na mikono mirefu ivaliwayo na wanaume kabla ya kuvaa shati; kizibao.

Turban         kilemba.

Socks           soksi

Stocking        soksi ndefu.

Veil               baibui.

Jacket           jaketi

Mantle           

Boot             viatu virefu vinavyofunika hadi vifundoni, buti.

Sandal          viatu vya wazi ambavyo mara nyingi hutengenezwa kwa ngozi za wanyama; sando.

Slippers       Viatuvya wazi kwa ajili ya kuogea au kwenda msalani;  kandambili,

Belt             mkanda.

Stocking      soksi ndefu.

Socks          socks fupi

Boots          viatu virefu

Slippers      kandambili.

Turban        Kilemba

Sandal        sando 

Scarf              nguo yenye sura ya kitambaa kizito kidogo inayozungushiwa shingoni mwa mvaaji.

Cloak        

Pajamas         Suruali ya kulalia.

Beach comber  kaptula ambayo haijapindwa yenye nyuzinyuzi nyingi sehemu ya mwishoni kwenye miguu.   

     

Siku za wiki  (Days of a week)

Monday           Jumatatu

Tuesday           Jumanne.

Wednesday      Jumatano

Thursday          Alkhamisi

Friday              Ijumaa

Saturday          Jumamosi

Sunday            Jumapili.

 

Rangi mbalimbali (Colors)

 

White             nyeupe.

Black              nyeusi

Red                nyekundu.

Blue               bluu.

Green             kijani

Maroon           damu ya mzee.

Brown             kahawia

Grey               rangi ya kijivu.(rangi ya simenti)

Purple            rangi ya zambarao.

Yellow            njano.

Yellow green      

Wheat                         rangi ya ngano.(sio njano moja kwa moja ila imefifia)

Turquoise

Violet

Tomato                      rangi ya nyanya (nyekundu iliyo fifia kidogo)

 

Kuhesabu  (Counting)

One                                      1   (moja)

Two                                     2    (mbili)

Three                                   3    (tatu)

Four                                     4    (nne)

Five                                      5    (tano)

Six                                        6    (sita)

Seven                                   7    (saba)

Eight                                     8   (nane)

Nine                                     9   (tisa)

Ten                                      10  (kumi)

Eleven                                  11  (kumi na moja)

Twelve                                 12  (kumi na mbili)

Thirteen                                13  (kumi na tatu)

Fourteen                               14  (kumi na nne)

Fifteen                                   15 (kumi na tano)

Sixteen                                  16  (kumi na sita)

Seventeen                              17  (kumi na saba)

Eighteen                                 18  (kumi na nane)

Nineteen                                 19 (kumi na tisa)

Twenty                                    20  (ishirini)

Twenty-one                             21  (ishirini na moja)

Twenty-two                             22  (ishirini na mbili)

Twenty-three                            23  (ishirini na tatu)

Twenty-four                              24  (ishirini na nne)

Twenty-five                                25  (ishirini na tano)

Twenty-six                                 26 (ishirini na sita)

Twenty-seven                             27 (ishirini na saba)

Twenty-eight                              28  (ishirini na nane)

Twenty-nine                               29  (ishirini na tisa)

Thirty                                        30  (thelathini)

Thirty-one                                 31 (thelathini na moja)

Forty                                        40  (Arobaini)

Fifty                                         50  (khamsini)

Sixty                                         60  (sitini)

Seventy                                    70 (sabini)

Eighty                                       80 (themanini)

Ninety                                       90 (Tisini)

Hundred                                  100 (Mia)

Hundred and ten                       110 (Mia na kumi)

Two hundreds                           200 (Mia mbili)

Three hundreds                         300 (Mia tatu)

Thousand                                1000 (Elfu moja)

Thousand and hundred             1100 (elfu na mia)

Ten thousands                       10,000 (Elfu kumi)

One million                             1,000,000 (milioni moja)

 

Baadhi ya vyumba na majengo ya umma (Some of Public rooms and buildings:)

Hotel         nyumba kwa ajili ya wasafiri yenye huduma ya mavazi na chakula kwa malipo.

Hostel       nyumba kwa ajili ya wanafunzi au vikundi vinavyokodi nyumba hizo kwa ajili ya kukaa kwa mafunzo

               maalum, na nyumba hizi hulipiwa chakula na malazi  kwa bili.

Motel        hotel yenye huduma ya kuegesha magari

Restaurant    nyumba ya kibiashara inayotoa huduma ya chakula na vinywaji na yenye sehemu ya kulia chakula hicho.

Cafeteria    

Cafe

Bistro       ni restaurant  ndogo na yenye chakula  bei nafuu (mama nitilie)

Canteen   mkahawa katika  sehemu ya kazi au shule.

Pub         nyumba inapouziwa pombe lakini haitoi huduma ya malazi wala chakula.

Inn         nyumba ambayo hutoa huduma ya vinywaji, chakula na malazi humo kwa kulipiwa, (Ni tofauti na hotel)     

Bar/ale house     Nyumba panapouzwa pombe za aina mbalimbali na yenye sehemu za kunywea pombe hizo

                          za madaraja tofauti.

             

Grocery           nyumba inayouzwa vinywaji na vyakula mbalimbali vya makopo, pakiti n.k kwa rejareja na

                      vilevile huuzwa baadhi ya vifaa vidogovidogo vya nyumbani.

Guest house.    nyumba ya kulala wageni.

Lodging house  nyumba inayotoa huduma ya malazi baada ya mtu kupokelewa kama mgeni (tazama guest house)

Boarding house   nyumba itoayo huduma ya chakula  (na mara nyingi hulipwa kwa bili)

Casino             kasino

School             shule.

College            Chuo.

Market            Soko.

Court             korti (mahakama)

Toilet            Chooni.

Shop             Duka

Cinema holy    Ukumbi wa sinema.

Mosque           msikiti.

Church             kanisa.

Pagoda            nyumba ya ibada ya wapagani.

Temple            nyumba ya ibada ya mabaniyani.

Doss house      nyumba ya lodging yenye bei nafuu.

 

MAGONJWA (DISEASES )

bilharzias         kichocho.

Malaria           maleria

Yellow fever    homa ya manjano.

Elephantiasis    matende.

Shingle            mkanda wa jeshi.

Acne               chunusi.

Catalepsy

Beriberi           beriberi.

Asthma            pumu

Typhoid           homa ya matumbo.

Angina pec- torsi

Anthrax           kimeta.

Cholera           kipindupindu.

Small pox        ndui.

hernia             ngiri (mshipa)

Hiccup            kwikwi.

 

  Tunakuomba ndugu msomaji utoe maoni yako juu ya website hii ambayo bado ipo katika kuendelezwa, toa maoni yako, ikosoe, tuma e mail katika anuani yangu canoksan@yahoo.com  au hilalshukri@yahoo.com na waweza pia kunipa maana fupi ya baadhi ya maneno ambayo nimeshindwa kuyajua kiswahili chake.

     Uionayo hapa chini ni kamusi ambayo hadi sasa hatujaikamilisha kuitengeneza, hizo ni kamusi mbili (yaani Kiingereza kwa Kiswahili na Kiswahili kwa kiingereza, Kwa maana hiyo basi hadi sasa hazipo hewani, samahani sana kwa usumbufu.